Msanii mahiri wa Muziki wa kizazi kipya" Roma Mkatoliki"akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam,waliofika kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi coco beach,katika Tamasha la kuukaribisha mwaka mpya liliandaliwa na Vodacom Tanzania kwa ajili ya wateja wake kwa msimu huu wa sikukuu.
Msanii chipukizi (underground)wa muziki wa kizazi kipya"Z-Thinker "wa Mabibo jijini Dar es Salaam akitoa mistari yake kabla ya Msanii"Roma Mkatoliki" kupanda jukwani na kuwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam,waliofika kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi coco beach,katika Tamasha la kuukaribisha mwaka mpya liliandaliwa na Vodacom Tanzania kwa ajili ya wateja wake kwa msimu huu wa sikukuu.
Msanii chipukizi(underground)wa muziki wa kizazi kipya"More Dreamer"wa manzese jijini Dar es Salaam akitoa mistari yake kabla ya Msanii"Roma Mkatoliki" kupanda jukwani na kuwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam,waliofika kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi coco beach,katika Tamasha la kuukaribisha mwaka mpya liliandaliwa na Vodacom Tanzania kwa ajili ya wateja wake kwa msimu huu wa sikukuu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera vijana kwa kuwa wabunifu na kujiajiri...by the way nampongeza sana Roma ni kati ya wasanii wachache wanaowasiliana sana na mashabiki wao kupitia social media, wengine hizo Facebook accounts/pages zifungeni tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...