Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya mamlaka ya uendelezaji bonde la mto Rufiji (RUBADA), Prof. Raphael Mwalyosi (wa pili kushoto) akipokea ripoti na mapendekezo ya mradi wa kuzalisha umeme wa Stiegler’s Gorge kutoka kwa Mkurugenzi wa Biashara wa kampuni ya nchini Brazil ya Odebrecht International, Bw. Fernando Soares jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa RUBADA, Bw. Aloyce Masanja na Balozi wa Brazil nchini Tanzania, Bw. Fransisco Luz (mwisho kushoto).
Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka ya uendelezaji bonde la mto Rufiji (RUBADA), Bw. Aloyce Masanja, akipokea ripoti na mapendekezo ya mradi wa kuzalisha umeme wa Stiegler’s Gorge kutoka kwa Mkurugenzi wa Biashara wa kampuni ya nchini Brazil ya Odebrecht International, Bw. Fernando Soares jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine katika picha ni Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya RUBADA, Prof. Raphael Mwalyosi (mwisho kushoto) na Balozi wa Brazil nchini Tanzania, Bw. Fransisco Luz (wa pili kushoto).
Wapeleka ujinga wao.Rufiji ina hitaji kuwa na msaada kutoka nchi za kislamu.Tume choka waislamu kuendlea kufanya wajinga na kuonea.It goes both ways. You treat people like they are bunch of bullshit.Get out of Tanzania.Resign President Kikwete.
ReplyDelete