Mpenzi msomaji, wa Gazeti la HABARILEO, tuletee picha za harusi, Kumuaga Bi Harusi, Uchumba, Ubatizo, Kipa imara, na nyinginezo, nasi tutazichapisha bureee katika Ukurasa huu.



Unaweza kutuletea moja kwa moja katika Ofisi zetu Zilizoko Jengo la Daily News Makao Makuu, Barabara ya Mandela Tazara (Tunatazamana na Ofisi za TAZARA), Dar es Salaam au kupitia anuani ya barua pepe habarizapicha@gmail.com –MHARIRI. 

PIA waweza kuzituma kwa barua pepe:- mrokim@gmail.com KWA MAELEZO ZAIDI PIGA +255 755 373999 AU +255 717 002303.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...