Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano na Udhamini Kutoka kampuni ya Simu za Mikononi ya Vodacom,Kelvin Twisa akiwa katika Zuria jekundu Wakati wa Sherehe ya kuaga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013 ijulikanayo kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia leo
Baadhi ya Wahudhuriaji wa Party ya Vodacom Grown and Sexy Party Wakiwa kwenye Zuria jekundu la Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika Usiku wa Mwaka Mpya Ndani ya Ukumbi wa Mlimani City 
 Wadau 
Warembo wakiwa ndani ya Ukumbi wa Mlimani city huku wakipata vinywaji baridi wakati walipohudhuria Sherehe ya Kuaga mwaka 2012 na kuukaribisha Mwaka 2013 ijulikanayo Kama Vodacom Grown and Sexy Party iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Usiku wa Kuamkia leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hivi kwaninini wanawake wanapenda kuvaa NUSU UCHI?

    ReplyDelete
  2. Kwasababu sisi Wanaume tunakodolea macho!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...