Mmoja wa Wawakilishi wa Kundi la Wafugaji waliokutana na Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo (Alhamisi, Jan. 10, 2013) Bi. Lilian Looloitai akitoa maoni kuhusu Katiba Mpya katika ofisi za Tume, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Bw. Adam Ole Mwarabu na kushoto ni Bw. Joseph Parsambei.
Mmoja wa Wawakilishi wa Kundi la Wafugaji waliokutana na Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo (Alhamisi, Jan. 10, 2013) Bi. Esta Labani akitoa maoni kuhusu Katiba Mpya katika ofisi za Tume, jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakifuatilia mkutano kati yao na Wawakilishi wa Wafugaji uliolenga kupata maoni ya kundi hilo kuhusu Katiba Mpya. Kutoka kushoto ni Bi. Maria Kashonda, Dkt. Senondo Mvungi na Bw. Yahya Msulwa.
Baadhi ya Wawakilishi wa Wafugaji waliokutana na Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo (Alhamisi, Jan. 10, 2013) katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam kutoa maoni yao kuhusu Katiba Mpya wakifuatilia mkutano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mbona ni wamasai tu, hakuna wasukuma?

    ReplyDelete
  2. Hakuna shida, ni wafugaji wale wale...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...