Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda (kulia) akizungumza na Walezi wa Kituo cha watoto yatima cha Kijiji cha Matumaini wakati alipotembelea kituo hicho,mjini  Dodoma na kutoa Msaada wa Luninga kwa ajili ya Watoto hao yatima.kulia kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Kituo hicho Fr Vicent Boseri na anaye fuatia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa (TAMISEMI),Mh. Hawa Ghasia
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiagana na Fr Vicent Boseri pamoja na msaidizi wa Vicent Sistar Rozaria ambao walimshukuru waziri mkuu kwakukumbuka watoto yatima hapa nchini.Picha na Chris Mfi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Yaani ka-tv tu au kuna msaada mwingine, waziri mkuu mtu mzito bwana..........

    ReplyDelete
  2. Acha maroroso wewe! Ati "Yaani Kat-tv...." wewe umetoa msaada gani katika jamii yako, au kazi yako ni kupiga wengine madongo? mtoaji yeyote yule anaelwewa ya kwamba kutoa ni moyo, usambe ni utajiri.
    -mtu hachagui zawadi.
    -Mtu akimpa maskini kichache, Mungu humruzuku kingi!
    -Mkono utoao ndiyo upatao.
    -Kondoo wa bure haaingaliwi meno.
    -Cha kupewa kitamu.
    Nakdhalika.
    Mdau mamtoni > 22 years

    ReplyDelete
  3. and one more from me mdau mamtoni.
    "Akupaye mfupa, kakuwazia"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...