Home
Unlabelled
anahamia mtaa wa saba.......
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hahahaha hapo kama mtongani!
ReplyDeletejamaa noma!!
Uhamaji wa namna hii ni kwa mtu:
ReplyDelete1.anayedaiwa hana na sasa anakimbia madeni!
2.alikuwa anakaa kwa demu sasa demu amepata mtu mwingine na yeye msela umuhimu wake sasa umekwisha!
3.alikuwa anakaa bure kwa ndugu, umri wake umeenda na sasa wamemtimua akaanze maisha yake!
Duuuh, Maisha mzunguko!
ReplyDeleteMasikini wee jamaa leo anahama kwa piki piki huku akiwa na godoro tu kama furniture akiwa hata kijiko na bakuli hana!
Yamungu mengi Inshallah baadae anakuja kufanikiwa kimaisha huku akibaki kukumbuka alikotoka!
Majuu, Majuu , Majuu ndugu zetu!
ReplyDeleteTukipiga simu kwenye intaneti kupiga virungu mtutumie msaada mnakuwa wagumu kutoa!
Leo angalieni ndugu yenu ametimuliwa kwa kukosa Kodi ya chumba na sasa anahama usiku kwa pikipiki!
Ahhh jamani maisha mchaka mchaka!,
ReplyDeleteHapo ndio hivyo upo juu ya pikipiki umekumbatia godoro lako unahama uendako hati hati hujui ni mpaka ufike, kwa vile unakwenda kusomesha kwa Mshikaji akupe hifadhi ya muda hadi upate kwako!
Ukiangalia mfukoni hela ya mwisho ndiyo hiyo ya kumlipa Boda boda!