Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea mpira ukiwa ni miongoni mwa mipira kutoka kwa Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Michezo Bi.Sharifa Khamis Salim,alipofika Ikulu kukabidhi mipira hiyo pamoja na kamati ya ugawaji mipira hiyo,kutoka mradi wa “ONE WORLD FOOTBALL FOR AFRIKA”,hafla hiyo ilifanyika Ikulu Mjini Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Kamati ya ugawaji Mipira kutoka mradi wa “ONE WORLD FOOTBALL FOR AFRIKA”,chini ya Mwenyekiti wake Bi.Sharifa Khamis Salim,pia akiwa  Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Michezo,hafla hiyo ilifanyika  Ikulu Mjini Zanzibar.
Katibu wa Kamati ya Ugawaji wa Mipira ya Mradi wa “ONE WORLD FOOTBALL FOR AFRIKA”, Khamis Abdalla Said,akitoa maelezo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakati kamati hiyo ilipofika Ikulu Mjni Zanzibar kukabidhi Mipira kwa Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.Picha na Ramadhan Othman, Ikulu-Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...