Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Fakih Jundu (mwenye tai nyekundu) akiwa Katika msingi wa jengo la Mahakama ya Mwanzo Duga mkoani Tanga,Mahakama hii inajengwa kwa fedha za Mahakama. Mhe. Jaji Kiongozi yupo mkoani Tanga kujionea kasi ya utoaji haki na changamoto za kiutendaji na maendeleo ya miradi mbalimbali ya Mahakama. Waliosimama ni baadhi ya Watendaji wa Mahakama alioongozana nao Katika ziara yake. (Picha na Mary Gwera, Mahakama)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ohhh huo ndio msingi wa jengo la Mahakama ya Serikali au Kilabu cha Kangara?

    Hiyo ni hela ya Kodi zetu au wananchi wanajenga kwa kujitolea?

    Du, kasi ya ufisadi nchini ni kubwa sana, hapo uliza bei ya msingi huo utaonyeshwa masifuri kibao!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...