Baadhi ya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wakielekea katika mkutano wa kumi kikao cha saba leo mjini Dodoma.
Mbunge wa Moshi Mjini Philemon Ndesamburo (kulia) na Christowaja Mtinda (Viti Maalumu) wakielekea katika ukunbi wa Bunge – Dododma leo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii na Jinsia ya Watoto Ummy Mwalimu akijibu hoja mbalimbali za Wizara yake Bungeni leo.
wanafunzi wa Shule ya Independence kutoka Dar es Salaam wakitambulishwa Bungeni leo.
Mjumbe wa Timu ya watu sita Bernardetha Mushashu (Viti Maalumu (kushoto) akipokea vitabu vya mtaala wa Elimu ya Awali (2005), Mtaala wa Elimu ya Msingi (2005) na Mtaala wa Elimu ya Sekondari (2005) kutoka kwa Mfanyakazi wa Bunge Modesta Kipiko ,kwaajili ya kwenda kuchunguzwa vitabu vya mitaala vilivyowakilishwa mezani leo na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa Bungeni ili kujiridhisha. (hayupo pichani).
Salehe Pamba (kulia) amkisikiliza Mkurugenzi Mtendaji kutoka Kampuni ya sola ya Rex Energy Francis Kibhisa jinsi ya matumizi mbalimbali ya umeme wa Sola. Maonyesho hayo yanafanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia (kushoto) January Makamba wakibadilishana mawazo na Ahmed Shabiby(Gairo) katika viwanja vya Bunge .
Waziri wa Fedha William Mgimwa akijibu hoja ya Amina Mwindau (Viti Malumu-hayupo pichani) kuhusu Deni la taifa limekuwa likiongezeka kwa kasi kubwa mwaka hadi mwani, na kutaka kujua Je, serikali ina mikakati gani wa kukabiliana na deni hilo.(Picha na MAELEZO).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...