Washiriki wa Miss Utalii Tanzania wakiwa wamewasili Baraza la Michezo Tanzania( BASATA) kwa ajili ya uzinduzi wa safari yao kuelekea Bagamoyo kutembelea vivutio vya watalii katika safari ya Utalii wa Ndani iliyodhaminiwa na kampuni mashuhuri ya utalii ya Lakeland Africa
.Washiriki wa Miss Utalii Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja katika Fukwe ya Bahari ya Hindi, Bagamoyo.
Ngome kongwe, Bagamoyo
Washiriki wa Miss Utalii tanzania wakiwa katika moja ya Makaburi ya zamani Kaole Bagamoyo.
Washiriki wa Miss Utalii Tanzania wakiwa katika moja ya Kaburi maarufu la Wapendanao. |
Washiriki wa Miss utalii Tanzania wakiwa katika jengo la Ngome kongwe Bagamoyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...