Libeneke jipya la Burger kinondoni karibu na  kituo cha Vijana kinondoni barabara ya Mwananyamala. Burger za nyama ya ng'ombe na kuku na ya mbogamboga zinapatikana.karibuni sana mpate burger bora in Town.Tunafungua kuanzia saa sita mchana mpaka saa nne usiku kila siku,kama kuna oda zaidi ya 5 tunafungua muda wowote kutimiza ahadi ya mteja.karibuni sana  Kenzie Dream Burger mpate kitu roho inataka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...