Kaka Michuzi tafadhali naomba warushie wanalibeneke wa hii Globu yetu  ya Jamii tovuti hii mpya ya kutangaza , kuuza na kununua  bidhaa na huduma  mbalimbali kwa njia ya mtandao. Si unajua tena Tanzania sasa hivi ni mambo ya digitali na mambo haya ndio mwake...

Katika tovuti hii waweza kujiandikisha na kutangaza bidhaa unayotaka kuuza au kununua kisha wanunuzi  na  wauzaji watawasiliana na wewe ili muweze KupigaDili moja kwa moja bila mtu wa kati.

Tovuti yetu inaweza kutangaza bidhaa na huduma  kwa kuzingatia mikoa yote ya Tanzania.

Kwa miezi mitatu ijayo unaweza kuweka matangazo yako yote bure bila kulipa chochote  hivyo tembelea www.pigadili.com  

Jiandikishe kisha unaweza  kuweka tangazo lako na kuanza kupigadili kwa  kuuza bidhaa na huduma  mara moja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...