Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ( kushoto) akiwakabidhi bati 24 kwa viongozi wa CCM Tawi la Kwa Mayambi, kata ya Sungaji ili kuezekea jengo la Ofisi.
 Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ( kushoto) akikabidhi viti 45 kwa uongizo wa CCM Kata ya Sungaji ili vitumike wakati wa mikutano ya Chama.
 Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ( kulia) akimkabidhi kitabu cha somo la sayansi ikiwa ni sehemu ya vitabu 121 kwa Mkuu wa Sekondari Adrian Mkoba ,Harold Mhando.

Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla akiwa katika picha za aina mbalimbali wakati wa ziara yake aliyoifanya kuanzia Februari 11 hadi 13, mwaka huu katika vijiji kadhaa vya Kata ya Sungaji, Hembeti na Mzumbe  iliyokuwa na lengo la kutoa misaada ya aina mbalimbali ikiwa ni utekelezaji wa ahadi zake pamoja na kusikiliza kero na kuhamasisha shughuli za maendeleo. ( Picha zote na John  Nditi). 
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...