Mdau Gustav  Mwaifunga na Bi. Dorcas Dominic Kyoba wamemeremeta na kuwaka waka leo jijini dar es Salaam baada ya wote kwa pamoja kuamua kuamua kuachana na chama cha makapera.Mdau Gustav ni Muajiriwa wa kampuni ya MultiChoice Tanzania.
Maharushi wakiwa kwenye gari yao tayari kwa safari ya kwenda mnusoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. mungu awajalie

    ReplyDelete
  2. You all look great, all the best for the future

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...