Mawaziri wakuu wastaafu,Mh. Edward Lowassa (wa tatu kushoto) na Mh. Fredrick Sumaye (wa nne kulia) wakiwa wamejumuika na waombolezaji wengine katika msiba wa mama yake na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa CRDB Bank,Dkt. Charles Kimei mwishoni mwa wiki huko Komakundi, Marangu,  Mkoani Kilimanjaro.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha bibi Eliangi Chopasia, ambaye ni mama yake na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank,Dkt. Charles Kimei, aliefariki akiwa na umri wa miaka 97.
Waziri Mkuu Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Fredrick Sumaye akitoa salamu za rambimbai kwa niaba ya viongozi wengine wa kiserikali waliohudhulia kwenye msiba huo,akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Mh. Leonidas Gama.
Mawaziri wakuu wastaafu,Mh. Edward Lowassa (wa pili kushoto) na Mh. Fredrick Sumaye (wa nne kulia) pamoja na waombolezaji wegine wakiwa wamesimama wakati mwili wa marehemu ulipokuwa ukiwasili nyumbani kwao kijiji cha Komakundi Marangu Moshi mwishoni mwa wiki.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akiwapa pole Dr Kimei (katikati) na dada yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. JAMANI POLENI SANA WANAFAMILIA YA KIMEY,MUNGU AMLAZE MAMA PEMA PEPONI.FOCUS MARO POLE NAKUONA KWENYE PICHA.MDAU KEATLEY GREEN UK.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...