Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Mbelwa Kairuki (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan, Bw. Kunio Umeda alipofika Wizarani kwa mazungumzo kuhusu masuala ya ushirikiano kati ya Tanzania na Japan.
Bw. Kunio Umeda akiendelea na mazungumzo na Balozi Kairuki.
Balozi Kairuki akimsikiliza Bw. Umeda  wakati wa mazungumzo yao. Wengine katika picha ni Mhe. Masaki Okada  (wa tatu kushoto), Balozi wa Japan hapa nchini, Bw. Naichi Nakashima, Naibu Mkururugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan na kulia ni  Bw. Khatib Makenga, Afisa katika Idara ya Asia na Australasia, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...