Familia ya Dr. Denis William Issa
mkuu wa kituo cha utafiti wa miwa Kibaha Mkoa wa Pwani inasikitika kutangaza
kifo cha Dr Denis Wiliam Issa (pichani) kilichotokea 21 February 2013 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam.
Mazishi yanategemewa kufanyika nyumbani
kwa marehemu Picha ya Ndege mjini Kibaha
leo Juma mosi, tarehe 23 February, 2013 kuanzia saa5 asubuhi. Habari ziwafikie wanandugu wote wana Mtwara na
wafanyakazi wa wizara ya Kilimo pamoja na Watafiti Wote
Mawasiliano 0715297361
Bwana Ayubu Makoja
RIP Dr. Issa. We loved you but God loves you more.
ReplyDeleteMay God rest his soul in peace and grant strength to his family!
ReplyDeleteRIP Issa. I will always remember the good times we spent in Belgium and Tanzania
ReplyDelete