Mhe. Mahadhi (kulia) akiendelea na mazungumzo na Mhe. Bongani Majola, Msajili Mpya wa Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) alipofika Ofisini kwa Mhe. Mahadhi kwa mazungumzo.


Mhe. Mahadhi akifafanua jambo kwa Mhe. Majola wakati wa mazungumzo yao. Wengine katika picha ni wajumbe waliofuatana na Mhe. Majola. Kulia ni Bw. Roland Konassi Amoussouga ambaye ni Mshauri Mwandamizi wa Sheria na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mipango wa ICTR na kushoto ni Bw. Jerry Mburi, Afisa Sheria na Utawala wa ICTR.

Mhe. Majola akiendelea na mazungumzo na Mhe. Mahadhi.
Mhe. Mahadhi na Wajumbe wengine wa ICTR wakimsikiliza Mhe. Majola.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...