Waziri wa Kazi na Ajira, Gaundencia Kabaka (kulia) akisalimiana na Kaimu Mkuu wa Idara ya Wateja Wakubwa na Uwekezaji wa Benki ya NBC, Minnie Adolf Kibuta katika hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na benki hiyo kwa washiriki wa mkutano wa tatu wa Wadau wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha . Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF, Aboubakar Rajab.
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaundencia Kabaka (katikati) akizungumza katika hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na benki ya NBC kwa washiriki wa mkutano wa tatu wa Wadau wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
 Msanii wa muzii wa izazi kipya Naseeb Abdul ‘Diamond’ akikonga nyoyo za wadau wa NSSF katika mkutano huo jijini Arusha.
 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii(NSSF), Crescentius Magori (kulia) akizungumza na  Kaimu Mkuu wa Idara ya Wateja Wakubwa na Uwekezaji wa Benki ya NBC, Minnie Adolf Kibuta katika hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na benki hiyo kwa washiriki wa mkutano wa tatu wa Wadau wa NSSF kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.
 Kaimu Mkuu wa Idara ya Wateja Wakubwa na Uwekezaji wa Benki ya NBC, Minnie Adolf Kibuta (katikati) akipozi kwa pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa NBC katika hafla hiyo jijini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...