Tancut Orchestra ya mjini Iringa enzi hizo walikuwa si mchezo. Hebu wacheki kina Abdul Salvador, John Kitime, Kasaloo Kyanga na Kyanga Songa, Kawelee Mutimana na wengineo wakikupa 'Safari sio kifo' katika mtindo wao wa Fimbo Lugoda
Home
Unlabelled
ngoma azipendazo ankal - enzi hizo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Dah! Michuzi, umenikumbusha mbali sana. Wakati huo nasoma dalasa la saba,katika shule fulani inaitwa Itulavano maili kama kumi toka Mafinga mjini, nilikuwa natoroka usiku, natembea kwa mguu kwenda kuwaona Kimuli muli Band na Tabia Mwanjelwa, pale jeshini-Mafinga. Nadhani kitu kama mwaka 1983-84 hivi.
ReplyDeleteKtk wimbo huu wa samahani ya uongo huwa nasikiliza chombo kimoja tu nacho ni tumba. Alipiga Marehemu Haruna Lwali. Hajatokea mpiga tumba wa kunikuna kama huyu. RIP Haruna
ReplyDeleteahsanteni kyanga songa na kasaloo kyanga kwa kututumbuiza na muziki. mungu awapumzishe salama usalimini.
ReplyDelete