Asante mdau Mesiaki kwa kutukumbusha ngoma hii ya 'I don´t mind' ya WINSTON SOSO aumbayo enzi hizo ikipigwa pale YMCA disco alikuwa hakai mtu...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ahhh Ankal unanitoa machozi!

    Wimbo huu unagongwa nakumbuka nipo kijana mdogo Ki-serengeti boys ktk early days Secondary Form 1, hata kwenda Dansini nilikuwa naambatana na kaka zangu na dada zangu tukifika mlangoni wanapata kazi ya ziada kuniombea kuingia ndani!

    Lakini sikuwa kama Watoto waliofeli Mtihani wa Kisasa, nilikuwa nayaruka Marumba kila wikiendi dansini lakini nikirudi Darasani No.1 kila Mtihani!, na karibu kila somo A huku B chache na C moja mbili!

    ReplyDelete
  2. Ooooh man ! uncle you remind me of fabulous good old days at Mbowe RSVP and YMCA disco theque, I remember we used to sing this song "I don't mind if want to give me your michuzi"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...