Mkuu wa shule ya Mbeya sekondari Mwamwitu Msigwa akimshukuru Josephine Kulwa kwa msaada waliopata toka NMB

Walimu nao wa Mbeya sekondari hawakuwa nyuma kuja kupokea msaada huo  hapa wakiangalia kompyuta hizo
Baadhi ya watumishi wa NMB wakiwa makini kusikiliza shukrani zinazotolewa shuleni hapo
Meneja mawasiliano wa NMB Josephine Kulwa amewataka waalimu na wanafunzi hao kutumia vifaa hivyo kwa malengo yaliokusudiwa na kuvitunza ili na wengine wapate kuvitumia.
Mwenyekiti wa bodi ya shule ya Mbeya sekondari na pia ni mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na taka Mbeya  Eng. Simon Shauri akionyesha furaha yake wazi kwa wageni toka NMB kwa msaada waliotoa kwa shule yao na ameahidi kuwa kompyuta hizo zitatumika kwa malengo yaliokusudiwa 
Mkuu wa shule ya Mbeya sekondari Mwamwitu Msigwa pia nae amewashukuru sana NMB kwa msaada waliotoa kwa shule yake
Huu ndiyo msaada wa kompyuta na printer toka NMB

Picha na Mbeya yetu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...