Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki Eng. Oscar Mwanjesa akSikata keki ya kusherehekea siku ya kuzaliwa kwake mbele ya wafanyakazi wenzake wa Mamlaka hiyo wakati wa hafla ya family day iliyofanyika katika hoteli ya Southan Beach Kigamboni Dar es Salaam. Watatu kutoka kulia ni Kaim Meneja Mawasliano wa TCRA Semu Mwakyajala.
Baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  kanda ya Mashariki wakishindano kufukuza kuku wakati wa katika ufukwe wa haoteli ya Southan Beach Kigamboni ikiwa ni sehemu moja wapo ya kusherehekea siku ya Familia iliyoandaliwa na Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki wakishindana kukumbia na Magunia ikiwa ni sehemuya shamlashamla za kusherehekea siku ya Familia iliyofanyika katika hoteli ya Southan Beach Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mazoezi ya siku moja ni mabaya zaidi. Yanaweza kusababisha blood pressure.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...