Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Maadili ya Mkoa wa Mara wakiwa Katika Mkutano na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama, Mhe. Mohamed Chande Othman Hayupo pichani lengo likiwa ni kusikia na kutafuta njia ya jinsi ya kutatua changamoto mbalimbali zilizopo Katika Kamati hizi. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania)
Home
Unlabelled
Tume ya Utumishi wa Mahakama yaendelea na Ziara yake mkoani Mara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...