Jaji Mkuu wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama, Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa Katika mkutano Wajumbe wa Kamati za Maadili za MKOA wa Mara (hawapo pichani) kulia kwa Mhe. Chande (mwenye suti ya dark blue) ni Mkuu wa MKOA wa Mara. Walioketi meza Kuu ni baadhi ya Wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Tume ya Utumishi wa Mahakama ipo Katika ZIARANI ya MKOA ya kanda ya ziwa (Mwanza, Mara na Kagera) lengo likiwa ni kuimarisha mahusiano mazuri na Kamati za Maadili za mikoa hiyo Katika utendaji kazi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama na Mahakama kwa ujumla. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania).
Home
Unlabelled
Tume ya UTUMISHI wa Mahakama ZIARANI Musoma MKOA wa MARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...