Mkuu wa mkoa kigoma Issa Machibya (Mwenye suti) akikagua mafunzo kwa vitendo ya vijana wanaomaliza mafunzo ya kujitolewa ya JKT katika kambi ya JKT Kanembwa wilayani Kibondo mkoani Kigoma
Baadhi ya vijana wanaomaliza mafunzo ya kujitolea katika kambi ya JKT Kanembwa wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wakisikiliza hotuba iliyokuwa ikitolewa na mkuu wa mkoa kigoma Issa Machibya (hayupo pichani) wakati wa hafla ya kufunga mafunzo hayo
Baada ya Mafunzo mtumie juzi kupambana na Uhalifu, sio tena mchukue maboti mzame Ziwa Tanganyika kuanza uporaji!
ReplyDeleteHAWA NI MAKURUTA AU MAKAMANDA?
ReplyDeleteOhhh, sasa hivyo vipara ndio kanuni ya Mafunzo?
ReplyDelete