Picha ya pamoja ya washindi wa tuzo za wachangiaji bora wa mfuko wa hifadhi ya jamii ya NSSF pamoja na Makamu wa  pili wa Rais wa Serikali ya mapinduzi Zanzibar Balozi, Self Alli Idd pamoja na viongozi wengeni wa mfuko wa NSSF.
 Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar,Balozi Self Ali Idd,akimkabidhi Mkuu wa Vodacom Tanzania,Kanda ya kaskazini,Bw.Philemon Chacha tuzo ya mchangiaji bora wa michango ya wanachama katika mfuko wa pensheni wa NSSF kwa makampuni ya mawasiliano nchini.Vodacom imeshinda tuzo hiyo na kukabidhiwa wakati wa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa tatu wa wadau wa mfuko wa NSSF uliofanyika Mount Meru Hoteli jijini Arusha.


 Mkuu wa Vodacom Tanzania,Kanda ya kaskazini,Bw.Philemon Chacha akionesha tuzo ya mchangiaji bora wa michango ya wanachama katika mfuko wa pensheni wa NSSF kwa makampuni ya mawasiliano nchini.Tuzo hiyo ilitolewa jana katika mkutano wa tatu wa wadau wa NSSF na Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Self Ali Idd.



Meza ya Vodacom kwenye hafla hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. big up kaka "ceremoni" ,huyu jamaa ni kiboko tulipiga nae box hapa uk miaka hio namfahamu vizuri

    ReplyDelete
  2. Braaaaaaaavo mkuu Chacha...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...