Toka kulia, Mama Balozi- Joyce Kallaghe, Anna Lukindo, Mheshimiwa Balozi Peter Kallaghe, Christine Mhando, Naibu Balozi Chabaka Kilumanga na mkewe Irene.
=======
Na Freddy Macha
Na Freddy Macha
Maonyesho maarufu ya mavazi –London Fashion Week- yaliyoanza rasmi Ijumaa iliyopita mjini London yameiweka ramani ya Tanzania duniani.
Shughuli hii muhimu kiuchumi na kisanaa inayoendelea juma zima na kuhusisha vituo vya kitamaduni na balozi 27 ina lengo la kutangaza vipaji vya wabunifu mavazi toka nchi zisizojulikana uwanja huu mahiri wa kimataifa unaosifika takriban miaka 30 sasa.
“London Fashion Week” ni moja ya maonyesho manne ulimwenguni yaliyoasisiwa rasmi kutukuza ubunifu, ufundi na biashara mwaka 1984. Huendeshwa sambamba miji ya New York, Milan na Paris kila mwezi Februari na Septemba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...