Balozi wa Tanzania katika nchi za Ubelgiji, Uholanzi na Luxembourg Balozi Dkt. Diodorus B Kamala akiwa na Rais wa Mahakama ya Dunia ya Makosa ya Jinai (ICC) H.E Sang Hyun Song. Balozi Kamala alienda ofisini kwa Rais wa ICC kwa nia ya kujitambulisha rasmi. Balozi Kamala anaratibu mahusiano ya Tanzania na mahakama ya ICC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...