Balozi wa Tanzania katika nchi za Ubelgiji, Uholanzi na Luxembourg Balozi Dkt. Diodorus B Kamala akiwa na Rais wa Mahakama ya Dunia ya Makosa ya Jinai (ICC) H.E Sang Hyun Song. Balozi Kamala alienda ofisini kwa Rais wa ICC kwa nia ya kujitambulisha rasmi. Balozi Kamala anaratibu mahusiano ya Tanzania na mahakama ya ICC.
Home
Unlabelled
Balozi Kamala ajitambulisha rasmi kwa Rais wa Mahakama ya Dunia ya Makosa ya Jinai (ICC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...