Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Makamu wa Pili wa Rais wa zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwasisitiza Wana CCM kuendeleza amani licha ya cheche za hujuma zinazoonekana kufanywa na baadhi ya watu nchini.
 Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akifurahia moja ya darasa la Jengo la Skuli Mpya ya Matetema ambayo tayari wanafunzi wa Kijiji hicho wameanza kulisomea kwa karibu wiki moja sasa.
 Mjumbe wa Kamat Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi vifaa vya ujenzi Mwenyekiti wa CCM Tawi la Boma Ndugu Bakuda Edwanr kwa ajili ya uendelezaji ujenzi wa Tawi hilo.

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi alikikagua na baadae kukikabidhi Kisima cha maji kwa ajili ya matumizi ya wananchi wa Kijiji cha Boma kiliomo ndani ya Jimbo la Kitope. 
Picha na Hassan Issa – OMPR - ZNZ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...