Pichani juu na chini ni baadhi ya abiria wakiwa nje ya basi  la Kilimanjaroo Express lenye namba za usajili T860 BVA walilokuwa wamepanda wakitokea jijini Dar kuelekea jijini Arusha mapema leo asubuhi.

Ajali hiyo imetokea eneo la Mombo ambapo chanzo chake  kinaelezwa kuwa  dereva wa basi hilo alikuwa akimkwepa mwendesha baiskeli, matokeo yake basi hilo likakosa mwelekeo na kupinduka. Katika jali hiyo inaelezwa kuwa watu kadhaa wamejeruhiwa lakini hakuna aliyepoteza maisha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nimekuwa nikiendesha katika hii barabara kwa miaka mingi sasa. Tatizo la watembea miguu na waendesha baiskeli ni kubwa na dereva inabidi uwe muangalifu sana usigonge mtu. Ninashauri katika ujenzi wa barabara uzingatie kujenga njia za pembeni. Jambo hili linawezwa kufanywa na mkandarasi au mamlaka inayohusika na sehemu hiyo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...