Naibu Waziri Jinsia na watoto,Ummy Mwalimu,akifuatiwa na mwenyekiti wa ccm Mkoa wa Tanga,Henry Shekifu akifuatiwa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Chiku Gallawa ambaye ni wa kwanza mkono wa kulia wakiwa katika uzinduzi wa sherehe za kukabidhi cheti cha halmashauri mpya ya bumbuli iliyofanyika wilayani hapo.
Cheti cha Halmashauri mpya ya bumbuli.
Wa pili mkono wa kulia ni aliyekuwa katibu mkuu wa ccm,Yusufu Makamba,kushoto kwake ni Mwenyekiti Mstaafu,Mussa Shekimweri na wa tatu ni katibu wa ccm wilaya y korogwe mjini,Ramadhani Mahanyu juzi wakiwa kwenye sherehe za uzinduzi wakifuatilia.
Baadhi ya wananchi wa halmashauri mpya ya Wilaya ya Bumbuli wakimkadhizi mbunge wao wa jimbo la bumbuli,January Makamba mbuzi na boksi la majani ya chai kwa jitihada zake za kufanikisha kutimiza moja ya ahadi zake za kupatikana cheti cha halmasauri mpya ya bumbuli,juzi katika sherehe za uzinduzi wa kukabidhiwa cheti hicho zilizofanyika bumduli.
Wananchi wa halmashauri mpya ya Bumbuli wilayani Lushoto wakifuatilia taarifa mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na viongozi juzi katika sherehe za uzinduzi wa kukabiziwa cheti zilizofanyika bumbuli.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...