Mkuu wa Jeshi la Polisi IJP Said Mwema, akiweka jiwe la Msingi katika kituo cha Polisi Mji mpya wa mabwepande, Wilaya ya kinondoni Jijini Dar es salaamu.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IJP Said Mwema akiwahutubia wakazi wa mji mpya wa mabwepande mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika kituo kipya cha Polisi kwa ajili ya kuimarisha ulinzi katika mji huo mpya.
Maofisa wa Polisi na wakazi wa mabwepande wakishangilia kufunguliwa rasmi kwa kituo cha Polisi katika mji mpya wa mabwepande.
Msemaji wa Jeshi la Polisi Advera Senso pamoja na maofisa wengine wakiwa nje ya jengo jipya la kituo cha Polisi Mabwepande mara baada ya Mgeni rasmi IGP Said Mwema kuweka jiwe la Msingi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Usalama kwanza!

    Imekuwa ni vyema kudumusha Usalama wa raia hapa, kwa kuwa pana wanaofikiri Mabwepande bado ni msituni.

    Ile kwachaaaa ***uhalifu***, Polisi ipo ngunguri meta chache mbele!,,,(Wahalifu wanajiuliza wenyewe) ohhh hakuna pa kutokea?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...