Marehemu Mzee John P Sunga
Ilikuwa kama ndoto lakini ni kweli yalitimia, tunaamini kimwili hauko nasi lakini kiroho u nasi. Tunakukumbuka daima mpendwa wetu. Upendo na ucheshi wako kwa familia hautasahaulika kamwe.
Ni mwaka mmoja sasa umepita tangu ulipotutoka mpendwa wetu Mzee John P Sunga. Unakumbukwa kipekee na mke wako Mama Sunga, watoto wako Dora, James, Calorine, Alan, Clement,Ngasa na wajukuu zako wote, ndugu jamaa na marafiki zako wote.
Raha ya milele umpe e bwana na mwanga wa milele umuangazie na apumzike kwa amani. Amina


.png)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...