Marehemu Mzee John P Sunga 

Ilikuwa kama ndoto lakini ni kweli yalitimia, tunaamini kimwili hauko nasi lakini kiroho u nasi. Tunakukumbuka daima mpendwa wetu. Upendo na ucheshi wako kwa familia hautasahaulika kamwe.

Ni mwaka mmoja sasa umepita tangu ulipotutoka mpendwa wetu Mzee John P Sunga. Unakumbukwa kipekee na mke wako Mama Sunga, watoto wako Dora, James, Calorine, Alan, Clement,Ngasa na wajukuu zako wote, ndugu jamaa na marafiki zako wote.

Raha ya milele umpe e bwana na mwanga wa milele umuangazie na apumzike kwa amani. Amina

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...