Home
Unlabelled
KAA CHONJO, BAJAJI ZA GHOROFA ZAJA...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
wawe wazi?
ReplyDeleteni hatari hii kwa sababu barabara zetu zina mashimo na mabonde , zitakuwa zinapinduka kila mara na kuhatarisha maisha ya watu, kwanza hakikisheni barabara zote nchini zimetengenezwa kwa mahesabu halafu ndio mruhusu hizi za ghorofa , nimefikisha
ReplyDeleteBajaji za gorofa...mwaka huu watawamaliza!
ReplyDeleteSawa bajaji hizo za gorofa na zije tuu ila kwa usalama zaidi matairi yake ya nyuma ya upande wa kulia na wa kushoto yawe manne manne au kwa uchache yawe mawili mawili, maana kwa namna kilivyopanda juu halafu matairi yake ya nyuma kuwa ni moja moja tu ni vyepesi sana kupinduka chenyewe tu au hata kwa kupeperushwa tu na upepo.
ReplyDeleteMchongo siwoo
ReplyDeletePhotoshop:Ghorofani tunapandia wapi?
ReplyDeletemhh, ajali zake hizo sitaki kusikia. C'mon this is VERY DANGEROUS
ReplyDelete