Naibu Mkurugenzi Mkuu wa BancAbc, Misheck Ugaro akipiga mpira wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa gofu yaliyodhaminiwa na BancAbc katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam jana.
Mchezaji wa Gymkhana Club, Mo Khimji akipiga mpira wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa gofu yaliyodhaminiwa na BancAbc katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam jana.
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa BancAbc, Misheck Ugaro akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa gofu yaliyodhaminiwa na BancAbc katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...