Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mh. Jaji Frederick Werema akimkaribisha Waziri wa Katiba na Sheria,Mh. Mathias Chikawe (mwenye miwani) kwenye ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Waziri wa Katiba na Sheria,Mh. Mathias Chikawe (watatu kushoto waliokaa) kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa baraza la wafanyakazi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...