Home
Unlabelled
Moto wateketeza maduka zaidi ya kumi Tegeta kwa mujibu wa ITV
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mbali ya matatizo yaliotajwa naamini pia mfumo wa maduka kushonana sana pia kunachangia kueneza moto haraka pale unapotokea. Bila ya kusahau daima moto Tanzania asilimia kubwa ni shoti za umeme, hili hata sijui ni kwa nini.
ReplyDeletePia ni kwa nini kila pakitokea maafa yawe ya moto, ajali barabarani au majini tunatabia soote kukimbilia eneo la maafa na kujazana hadi kwamba waokozi na vyombo vyao huwa ni vigumu kufika sehemu hizo? hivi ni kwa nini hasa?
Kaka Huoni hii idadi ya Bomuwatu wanajitafutia riziki katika maafa!
ReplyDelete