Kwa mujibu wa taarifa kutoka Kampala, Uganda, ni kwamba Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Afrika Mashariki wa Uganda Mhe  Eriya Kategaya (pichani) amefariki dunia Jumamosi jioni katika Hospitali ya Nairobi, Kenya, alikokuwa amelazwa kwa takriban wiki moja kwa matatizo yaliyotajwa kitaalamu kama Thrombosis ambapo damu haizunguki vyema mwilini. 


Tuungane na wana Afrika Mashariki wenzetu wa Uganda kuomboleza msiba wa Mheshimiwa huyu na kumuombea dua apate heri huko aendapo.

Mdau

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...