Mamia ya wananchi wakijiandaa kumlaki Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt kupitia lango la Mashariki la Ikulu Dar es salaam leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt  Ikulu Dar es salaam leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mgeni wake Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt wakiingia Ikulu huku wakishangiliwa.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika maongezi ya faragha na Waziri Mkuu wa Denmark Mhe Helle Thorning-Shmidt leo Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Inasikitisha kuona wazee na watoto wameacha kazi zao na kwenda shule kumshangilia waziri mku wa Denmark. Misaada itakayokuja hapa hawa wananchi na hata wewe Michuzi hutofaidika nayo bali wanakula wao viongozi na familia zao. Ee Mungu we tunusuru sie wanao.

    ReplyDelete
  2. AISE MSEMAJI WA KWANZA UMESEMA UKWELI WENYEWE.

    KILA KIONGOZI AKISHABIKIA KITU SIO KWA FAIDA YA WALE ANAOWAONGOZA LA HASHA. NI KWA FAIDA YAKE NA FAMILIA YAKE

    ReplyDelete
  3. Wadau wa kwanza na wa pili, mmesahau ya kuwa ktk ulaji wa halaiki kwenye masinia mfano ubwabwa inakuwaje?

    Si kila mlaji anavutia nyama ziwe kwake na kumega tonge kubwa kubwa na kwa haraka?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...