SAFARI
LAGER NYAMA CHOMA MWANZA FINALS
Sunday,
17 March 2013 – Kiwanja Cha Furahisha
- Kwa mara nyingine tena, Safari Lager inakukaribisha kushuhudia mchuano wa mwisho kuona ni Bar ipi inayochoma nyama Bomba zaidi jijini Mwanza!.
- Ni Jumapili hii tarehe 17 March, katika Kiwanja Cha Furahisha jijini Mwanza kuanzia saa 4.00asbh.
- Njoo ushuhudie bar zilizoingia fainali Mwanza zikichuana kukupa Nyama Choma Bomba zaidi;
- Victoria Prince Bar – Kirumba.
- Shokeni Bar – Mkuyuni.
- AR Pub – Kilimahewa.
- Lunara Bar – Nyakato.
- Shooters Bar – Kirumba.
Washindi watajipatia zawadi zaidi ya shilingi milioni nne!.
- Njoo uburudike kwa aina tofauti za nyama choma, kuanzia mapande hadi mishkaki, nyama za Kuku, Ng’ombe na Mbuzi!!. Chachandu, Kachumbari, pilipili, ndimu nk.. vitakuwepo.
- Kutakuwa na zawadi kibao kutoka Safari Lager, burudani za wasanii mbalimbali, na kufunga kazi jukwaani watakuwepo The Africana Music Band!!..
- Tamasha la Safari Lager Nyama Choma jumapili hii pale kiwanja cha Furahisha jijini Mwanza ni BURE, hakuna Kiingilio!.
- Bila Safari Lager, Nyama Choma Haijakamilika!!..
''Bila Safari Lager Nyama Choma Haijakamilika!!..''
ReplyDeleteManeno ktk mstari wa chini kabisa,
Je, mimi Ustaadhi ambaye silewi, sinywi na wala sivuti nikija Kiwanja cha Furahisha Mwanza nikatandika Busati langu pembeni na Themosi langu la chai na chapati, halafu nikaagiza nyama choma kusukumizia kinywaji changu laini ''chai na chapati kwa nyama choma'' Waandaaji Safari Lager mtakubali?