Meneja wa Bia ya Kiliamanjaro, Geogre Kavishe akimpongeza Edina Joseph mmoja wa washiriki wa Mashindano ya Kilimanjaro Marathon, yaliofanyika jana, Moshi Mkoa wa Kilimanjaro, mashindano hayo yalidhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro, Premium Lager, Gapco, Vodacom , Tanga Cement , CFAO Motors, KK Security, Keys Hotel, TPC Sugar, Tanzania one, New ArushaHotel, UNFPA, Fastjet, Cluods FM, na Kilimanjaro Water.
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars akimaliza mbio ya Kilimanjaro Premium Lager Marathon za kilomita 21 zilizofanyika jana mjini Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...