TIMU YA SIMBA YA JIJINI DAR ES SALAAM,YASHINDWA KUONYESHA MAKEKE YAKE MBELE YA TIMU YA FC LIBOLO YA NCHINI ANGOLA,BAADA YA KUKUBALI KICHAPO CHA BAO 4-0 KATIKA MCHEZO ULIOMALIZIKA MUDA MFUPI ULIOPITA.
NA HUKO NCHINI SUDAN KUSINI,TIMU YA AZAM FC LEO WAMEENDELEA KUONYESHA CHECHE ZAO,BAADA YA KUWATANDIKA WAINZANI WAO BAO 5-0.

HABARI KAMILI ITAKUJA BAADAE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Aisee bro misoup, watani zetu wana hali mbaya sana naona bakora zitambezwa hivi karibuni mtaa wa msimbazi maana mnyama bundi amekataa kuondoa kambi kwenye paa la wekundu wa msimbazi

    ReplyDelete
  2. Simba mandemba!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...