Tuna masikitiko makubwa ya kuwatangazia maziko ya ndugu yetu Said Khalfan Shedhan hayakuweza kufanyika leo siku ya Jumatatu tarehe 11/3/2013 kama ilivyotangazwa awali kutokana na kwamba mwili wa marehemu umechelewa kukabidhiwa kwa wanandugu

Mazishi yanategemewa kufanyika siku ya Jumanne tarehe 12/ 03/ 2013 mara tu baada ya sala ya Adhuhur,  Inshallah.

Msiba huu upo nyumbani kwa marehemu Address ifuatayo:

3 High Street
Sheffield
Yorkshire
S2  5PZ

SALA YA Maiti itasaliwa msikiti wa address:
3 Ellesmere Road
Sheffield
Yorkshire
S2  7JA

Tunaomba uwasiliane na wahusika wafuatao kwa taarifa zaidi za maziko;

Habibu Swalehe  07904604128 UK
AU
Mohamed Said Khalfan Shedhan 07961014224 UK
AU
Ahmed Mashaka 07876232851 UK

"KWA HAKIKA SOTE NI WAJA WA MWENYEZI MUNGU NA KWAKE TUTAREJEA "

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...