Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini (tpsf), Godfrey Simbeye ikisisitiza jambo wakati wa mkutano maalumu wa kuwajengea uwezo wanachama wa taasisi hiyo katika kanda ya kaskazini ,juu ya umuhimu wa kongano (clusters) na jinsi ya kuimarisha mabaraza yao ya biashara ya wilaya na mkoa ili kuwa na sauti moja yenye nguvu kwa taasisi hiyo, (kushoto) ni Mkurugenzi wa Bodi ya taasisi hiyo DKT. Gidion Kaunda. Mkutano huo ulifanyika jijini Arusha jana na kujumuisha mikoa ya Manyara, Kilimanjaro na Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...