Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mh. Jaji Aloysius Mujulizi akifungua mkutano wa wadau wa sheria ya ardhi uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Kamishna wa Tume ya Kurekebisha Sheria Bw. Albert Msangi akiwasilisha taarifa ya Utafiti juu ya Mfumo wa Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi Tanzania.
Baadhi ya wadau wa sheria ya ardhi wakiwa katika mkutano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Yaani kudesa hakuishi! Badala kumsikiliza mtoa mada dada anadesa hapo!
    Bongo tambarare!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...