.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Manpower si unayo hapo, watu chungu mbovu anapiga domo tu, watanzania tunatia aibu, nami nilipokuwa bongo juzi siuliamini ghorofa hili, kwani slabs zilikwa zinaangukia magari kama mchezo vile.

    ReplyDelete
  2. Client: NHC...Wazembe hao kazi kuvunja majumba na kujenga haraka kwa engineers wa china..

    ReplyDelete
  3. Kwa nini bado kuna uswahili hata baada ya maafa kama haya? Kwa nini mashabiki (wapiga debe)wengi wasio na kitu chochote muhimu hapo wanaruhusiwa kufika karubu na sehemu ya maafa? Mie nimeona sehemu nyingi duniani Polisi wanafunga kabisa eneo hilo na kuruhusi vyombo vya dola tu pamoja na baadhi ya wenye mali kuingia hapo. Je kukitikea mlipuko? Blackmpingo

    ReplyDelete

  4. Huyo mtu anaesema engineer wachina ni mjinga wa mwisho hakuna cmhina anaeweza kufanya kitu kama hicho soma vizuri vibao hapo acha ujinga

    angalieni watu ambao hawana kazi walivyo jaa kushangaa haya ndo maisha ya Tanzania nchi peke ambayo kibali cha ujenzi kinatolewa lakini hata kama mchoro hauna parking bado wanakubali

    ReplyDelete
  5. Tunaponunua mashangingi ya kifahari tukumbuke pia vitu muhimu kama vifaa vya kisasa vya uokoaji, zimamoto n.k na kuwa na wataalam up-todate. Ukweli tunajisahau sana. Pole kwa wote na hatua zichukuliwe kwa yeyote anayehusika.

    ReplyDelete
  6. tunahitaji disaster management team na emergency responce team!! tanzania do we have that??

    ReplyDelete
  7. Poleni sana watu wote mlioguswa na maafa haya. Inasikitisha ya kwamba wakati wowote nchi yangu inapokuwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa ni kwa sababu ya majanga. Lazima tufahamu maafa kama haya si mapenzi ya Mungu bali ni uzembe na tamaa za wanadamu. Mola awalaze mahala pema peponi wote waliopoteza maisha yao kwenye maafa haya.

    ReplyDelete
  8. Yaleyale, bongo hakuwana kuwajibika. Huwezi kuwa na ma-engineer responsible wenzetu wanaita due diligence, kama viongozi wa nchi hawawajibiki. Chama cha ma-engineer na contractors mnaharibiwa jina. Wahusika wanatakiwa wawajibike hata kama ni kwenda jela waende vinginevyo watu hawatabadilika

    ReplyDelete
  9. Anon wa kwanza umesoma kabisa mawazo yangu, polisi kitu cha kwanza kufanya hapo ingekuwa kuzuia wasiohusika. Inafanya uokoaji unakuwa rahisi na usalama vile vile. Haya mambo ya watu kuja kushangaa shangaa hayana maana...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...