Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akizungumza na viongozi wa Chama cha Wafanyakazi Walinzi Binafsi nchini (TUPSE) ofisini kwake masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya chama hicho na wizara yake. Kulia ni Katibu wa Kanda ya Dar es Salaam, Etimas Msamba, Katibu Msaidizi, Oscar Muyeya na Kaimu Katibu Mkuu, Agustino Rupia.


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Wafanyakazi Walinzi Binafsi nchini (TUPSE) ofisini kwake  jijini Dar es Salaam.

PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...