Afisa Mtendaji Mkuu wa Barclays wa Huduma za Rejareja za Biashara ya Kibenki,Craig Bond akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wao wa kuelezea mipango yao endelevu ya biashara za kibenki Barani Africa,uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.Wengine pichani ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Barclays Africa,Kennedy Bungane (wa pili kushoto),Mkurugenzi Mkuu wa Barclays Tanzania,Kihara Maina (wa pili kulia) na mwisho ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kitengo cha Bima wa Barclays Africa,Willie Lategan
 Afisa Mtendaji Mkuu wa Barclays Africa,Kennedy Bungane (wa pili kushoto) akisisitiza jambo mbele ya waandisi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wao wa kuelezea mipango yao endelevu ya biashara za kibenki Barani Africa,uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Barclays Tanzania,Kihara Maina (katikati) akizungumza kwenye Mkutano huo uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kitengo cha Bima wa Barclays Africa,Willie Lategan na Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Barclays Africa,Kennedy Bungane.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...